Daudi wa Uswidi, O.S.B. (pia: David av Munktorp; Uingereza, karne ya 10Vasteras, Uswidi, 1082) alikuwa mmonaki Mbenedikto wa urekebisho wa Cluny[1] aliyetumwa kama askofu mmisionari nchini Uswidi mwaka 1020 akaendelea[2] hadi alipofariki katika monasteri aliyoianzisha bila kupata kifodini alichotarajia[3] [4].

Mt. Daudi alivyochorwa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 15 Julai[5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.