Eberigisili
Eberigisili[1] (alifariki 593 hivi) alikuwa Askofu mkuu wa Cologne, Ujerumani, wa tano kati ya wale wanaojulikana kwa hakika, na wa kwanza mwenye jina la Kifaranki[2].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Ebergisel, Ebergisil, Ebregisel, Ebregisil, Ebregislus, Ebregiselus, Ebregisus, Evergislus, Evergisilus, Everigisil, Everigisilus
- ↑ [1] Archived 12 Julai 2007 at the Wayback Machine..
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo hariri
- Régis de la Haye, De bisschoppen van Maastricht. Maastricht, 1985
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- (Kijerumani) [2]
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |