Ekembodo
Ekembodo (alifariki Therouanne, Ufaransa wa leo, 742) alikuwa mmonaki, labda kutoka Ireland, aliyejiunga na monasteri ya Sithiu chini ya Bertino wa Sithieu akawa abati wake miaka 10 baadaye. Halafu alichaguliwa kuwa askofu wa Therouanne huo akaongoza jimbo hilo pana kwa miaka 26 bila kuacha uabati[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- La tombe de saint Erkembode dans la cathédrale Notre-Dame de Saint-Omer Archived 12 Machi 2016 at the Wayback Machine.
- Le site officiel de la ville de Saint-Omer
- Saint Erkembode sur le site de la Médiathèque chrétienne, historique de la région depuis la période celtique, hymnographie orthodoxe
- Quelques saints du diocèse d'Arras dont saint Erkembode Archived 24 Novemba 2006 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |