Emidi (279 hivi - 309 hivi) anakumbukwa kama askofu wa Ascoli Piceno (Italia ya Kati) hadi kifodini chake chini ya kaisari Diokletian[1].

Sanamu yake katika kanisa kuu la Foligno, kazi ya Cody Swanson.

Inasemekana alitokea Trier, leo nchini Ujerumani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Agosti.[2]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Sant' Emidio Martire
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.