Emilia wa Villeneuve
Emilia wa Villeneuve (kwa Kifaransa Émilie de Villeneuve; Toulouse, Haute-Garonne, Ufaransa, 9 Machi 1811 – Castres, Tarn, 2 Oktoba 1854) alikuwa mtawa Mfaransa aliyeanzisha shirika la Masista wa Bibi Yetu wa Kukingiwa Dhambi ya Asili wa Castres[1].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Benedikto XVI tarehe 5 Julai 2009, halafu mtakatifu na Papa Pius XII tarehe 17 Mei 2015[2].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/95117
- ↑ Consistory: three new canonisations approved. news.va. Jalada kutoka ya awali juu ya 2015-06-20. Iliwekwa mnamo 17 May 2015.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
- Official website of the Congregation of Our Lady of the Immaculate Conception of Castres
- Il Romitello - Official website of the Home in Rome.
- Hagiography Circle
- Saints SQPN
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |