Eobani na wenzake Adelari, Vintrungi, Valteri, Amundi, Shibaldi, Bosa, Vakari, Gundekari, Eluri na Atevulfi na pengine 41 zaidi (waliuawa Dokkum, katika Uholanzi wa leo, 5 Juni 754) walikuwa askofu, mapadri, mashemasi na wamonaki Wabenedikto waliotumwa kama mmisionari kwa Wafrisia, wakauawa pamoja na Bonifas.

Kifo cha Mt. Bonifas, kilivyochongwa na Werner Henschel, 1830, Fulda.

Eobani alikuwa askofu, Adelari, Vintrungi na Valteri mapadri, Amundi, Shibaldi na Bosa mashemasi, Vakari, Gundekari, Eluri na Atevulfi wamonaki tu[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na wengineo kama watakatifu.

Sikukuu yao ni tarehe 5 Juni ya kila mwaka[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Talbot, C. H., ed. The Anglo-Saxon Missionaries in Germany: Being the Lives of S.S. Willibrord, Boniface, Strum, Leoba and Lebuin, together with the Hodoeporicon of St. Willibald and a Selection from the Correspondence of St. Boniface. New York: Sheed and Ward, 1954.
    • The Bonifacian vita was republished in Noble, Thomas F. X. and Thomas Head, eds. Soldiers of Christ: Saints and Saints’ Lives in Late Antiquity and the Early Middle Ages. University Park: Pennsylvania State UP, 1995. 109-40.
  • Die Briefe des heiligen Bonifatius und Lullus, a cura di M. Tangl, Berlin, 1916
  • J. Semmler - G. Bernt - G. Binding, Bonifatius, in Lexikon des Mittelalters, München, 1983

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.