1830
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1800 |
Miaka ya 1810 |
Miaka ya 1820 |
Miaka ya 1830
| Miaka ya 1840
| Miaka ya 1850
| Miaka ya 1860
| ►
◄◄ |
◄ |
1826 |
1827 |
1828 |
1829 |
1830
| 1831
| 1832
| 1833
| 1834
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1830 BK (Baada ya Kristo).
MatukioEdit
Eugène Delacroix - La liberté guidant le peuple
- Omani/Zanzibar: Sultani Sayyid Said anahamisha mji mkuu wake kutoka Omani kuja Zanzibar. Anavutwa na ardhi yenye rutba na upatikanaji wa kazi ya watumwa akianzisha kilimo cha karafuu.
- Marekani: Kitabu cha Mormoni chatolewa na Joseph Smith, Mdogo anayedai kuwa alitafsiri kitabu kutoka kwa mabamba ya dhahabu aliyopewa na malaika wa Mungu.
- 14 Juni Sidi-Ferruch (Algeria): Vikosi vya jeshi la Ufaransa vinatelemka mwambaoni wa Algeria. Ukoloni wa Ufaransa unaanza.
WaliozaliwaEdit
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
- 9 au 18 Februari - Abdulaziz I, Sultani wa Milki ya Osmani (1861-1876)
- 15 Machi - Paul Heyse (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1910)
- 8 Septemba - Frederic Mistral (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1904)
- 17 Desemba - Simon Bolivar, mwanasiasa na mwanajeshi katika Amerika ya Kusini aliyeongoza mapambano dhidi ya ukoloni wa Hispania, katika mji wa Santa Marta (Kolombia)
WaliofarikiEdit
- 4 Juni - Antonio José de Sucre, Rais wa Peru (1823) na Rais wa Bolivia (1825-28), aliuawa
- 30 Novemba - Papa Pius VIII
Wikimedia Commons ina media kuhusu: