Eupsiki (alifariki Kaisarea wa Kapadokia, katika Uturuki ya leo, 362 hivi) alipata kuwa mfiadini wa Kikristo katika dhuluma ya kaisari Juliani Mwasi kutokana na kubomoa hekalu la mungu wa kike Bahati.[1]

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Aprili[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.