Eutikyo wa Konstantinopoli

Eutikyo wa Konstantinopoli (Theium, Frigia[1], leo nchini Uturuki, 512 hivi - Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 5 Aprili 582[2]) alikuwa Patriarki wa mji huo kuanzia mwaka 552 hadi 565 halafu tena kutoka mwaka 577 hadi kifo chake kilichompata akiwa anakiri ufufuo wa wafu. Katikati alipelekwa uhamishoni kwa kutetea kwa nguvu imani sahihi[3].

Picha takatifu ya kwake akiwa katika mavazi ya ibada.

Alisimamia Mtaguso wa pili wa Konstantinopoli (553).

Maandishi yake machache yametufikia[4]

Anaheshimiwa tangu kale kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Aprili[5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. William Hazlitt, ed. The Classical Gazetteer: A Dictionary of Ancient Geography, Sacred and Profane, (1851) gives only "Theium, a fortress of Athamania, Ætolia, on Achelous fl[umen], n.w. of Cranon;" see also Livy, Book 38.
  2. The chronology of his life followed by Sinclair (and this article) is that fixed by Henschen in his introductory argument to the Life by Eustathius (Sinclair 1911 citing Boll. Acta SS. 6 Ap. i. 550).
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92492
  4. His literary remains are:
    • Letter to Pope Vigilius (Migne, P. L., LXIX, 63, P.G. LXXXVI, 2401)
    • "Discourse on Easter" (fragment) (Mai: Class. Auct. X, 488, and Script. Vet. Nov Coll. IX, 623); and other fragments found in P.G., LXXXVI.
  5. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.