Frambodi (pia: Framboldus, Frambold, Franbolt, Franbourd, Frambaud, Fraimbauld, Frambourg; Auvergne, 500 hivi - 15 Agosti 570) alikuwa mmonaki aliyeishi mara upwekeni mara pamoja na wafuasi aliowafundisha maisha ya kijumuia karibu na Le Mans, leo nchini Ufaransa[1].

Sanamu yake.

Tangu kale ameheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 16 Agosti[2].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri

Marejeo

hariri
  • Abbé Angot, « Notes sur saint Fraimbault », dans le Bulletin de la Commission historique et archéologique de la Mayenne, 1892 (t. IV), p. 56-64
  • Jean Jollain (1674) & Joseph Garin (1925), Le Patron d'Ivry-sur-Seine : Saint Frambour, sa vie (500-470), son culte à Ivry (600-1924), Librairie Victor Lecoffre, J. Gabalda éditeur, 1925.

Viungo vya nje

hariri
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.