Gaëtan Bong

Mchezaji wa soka wa Kamerun

Thomas Gaëtan Bong (alizaliwa tarehe 25 Aprili 1988) ni mchezaji wa klabu wa Kamerun ambaye anacheza kama beki wa klabu ya Uingereza iitwayo Brighton & Hove Albion na timu ya taifa ya Cameroon.

Alikuwa akicheza mpira wa miguu katika klabu mbalimbali kama vile Metz, Tours, Valenciennes, Olympiacos na Wigan Athletic, na aliwakilisha Ufaransa chini ya kiwango cha chini ya 21 kabla ya kubadili uraia na kuwa raia wa Cameroon.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gaëtan Bong kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.