Galikani (alifariki 363) anatajwa kama mfiadini kutoka Roma nchini Misri wakati wa dhuluma ya kaisari Juliani Mwasi[1].

Kwa kuwa hayajulikani mengine ya hakika kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Juni.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. According to his "Acta" (in Acta SS., June, VII, 31), which are not very reliable, he was a distinguished general in the Roman–Persian Wars. He was also consul with Symmachus in 330 and perhaps also once before with Caesonius Bassus in 317. After his conversion to Christianity he retired to Ostia, founded a hospital and endowed a church built by Constantine I. Under Julian he was banished to Egypt, and lived with the hermits in the desert. A small church was built in his honour in the Trastevere of Rome. His relics are at Rome in the church of Sant'Andrea della Valle. The legend of his conversion was dramatized in the tenth century by the nun Roswitha.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.