Gangolfi (alifariki Avallon, Yonne, leo nchini Ufaransa, 11 Mei 760) alikuwa kabaila wa Burgundy[1] maarufu kwa imani na uadilifu hadi alipouawa na hawara wa mke wake[2].

Mt. Gangolfi alivyochorwa na Meister von Meßkirch, 1535 hivi.

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Mei[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Alessandro Barbero
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92374
  3. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.