Itamari wa Rochester

Itamari wa Rochester (kwa Kiingereza: Ithamar, Ythamar; alifariki Rochester, 656/664[1] [2]) alikuwa askofu wa Kanisa Katoliki katika mji huo wa Uingereza, wa kwanza mwenye asili ya Kigermanik.

Aling'aa kwa elimu[3] na ugumu wa maisha[4]

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Juni[5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Fryde, et al. Handbook of British Chronology p. 221
  2. Walsh A New Dictionary of Saints p. 287
  3. Beda Mheshimiwa, Ecclesiastical History, 3.14
  4. https://www.santiebeati.it/dettaglio/56810
  5. Martyrologium Romanum

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

  • Hutchinson, John (1892). "Ithamar". Men of Kent and Kentishmen (toleo la Subscription). Canterbury: Cross & Jackman. uk. 78. 
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.