Jeradi wa Toul (pia: Gerhard, Geraud; Koln, Ujerumani, 935 hivi; Toul, leo nchini Ufaransa, 23 Aprili 994[1][2]) alikuwa askofu wa mji huo kwa miaka 31, aliyetunga sheria bora akitetea haki na uhuru wa Kanisa dhidi ya serikali, akisaidia kiroho na kimwili fukara na monasteri, pamoja na kuzuia kwa sala na saumu uenezi wa tauni [1][2][3][4].

Picha yake katika kanisa kuu la Toul.

Papa Leo IX alimtangaza mtakatifu tarehe 21 Oktoba 1050.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Aprili[5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. 1.0 1.1 "Saint Gerard of Toul". Saints SQPN. 24 April 2017. Iliwekwa mnamo 4 October 2017.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. 2.0 2.1 "Gerard of Toul, St.". New Catholic Encyclopedia. Encyclopedia.com. 2003. http://www.encyclopedia.com/religion/encyclopedias-almanacs-transcripts-and-maps/gerard-toul-st. Retrieved 4 October 2017.
  3. "St. Gerard, Bishop of Toul". Catholic Online. Iliwekwa mnamo 4 October 2017.  Check date values in: |accessdate= (help)
  4. http://www.santiebeati.it/dettaglio/50580
  5. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.