Kanio wa Atella
Kanio wa Atella alikuwa askofu akafia imani ya Kikristo wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].
Inasemekana alitokea Karthago, leo nchini Tunisia, akaishia Atella (leo Sant'Arpino, Caserta, Italia Kusini)[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[3][4].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/90990
- ↑ Francesco Lanzoni, Le origini delle diocesi antiche d'Italia: studio critico, Volumi 35-36, Tip. Poliglotta Vaticana, 1923
- ↑ AA. VV., Raccolta Rassegna Storica dei Comuni, vol. 30, 2016
- ↑ Pina Belli D'Elia, Clara Gelao, La Cattedrale di Acerenza: mille anni di storia, Edizioni Osanna, 1999
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
- Santiebeati.it: life of San Canio (Kiitalia)
- Calitritradizioni.it: San Canio, venerated at Calitri Archived 3 Septemba 2005 at the Wayback Machine. (Kiitalia)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |