Kios (kwa Kigiriki: Χίος, Khíos) ni kisiwa cha Ugiriki katika Bahari ya Aegean.

Nea Moni.

Kina wakazi 51,930 (2011) wanaotegemea zaidi uvuvi na utalii.

Monasteri ya Nea Moni (karne ya 11) imeorodheshwa na UNESCO kati ya mahali pa Urithi wa Dunia.

Kinatajwa na Biblia ya Kikristo kwa kuwa mwaka 58 Mtume Paulo, katika safari yake ya tatu ya kimisionari, aliabiri kutoka Lesbo hadi Samos akipitia huko (Matendo ya Mitume 20:15).

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Fanny Aneroussi, Leonidas Mylonadis: The Kampos of Chios in its Heyday: Houses and Surroundings. Translated from the Greek by Antonis Scotiniotis. (Aipos Series, no 12). Akritas Publications, Nea Smyrni 1992, ISBN 960-7006-87-9.
  • Charalambos Th. Bouras: Chios. (Guides to Greece, no 4). National Bank of Greece, Athens 1974.
  • Charalambos Th. Bouras: Greek Traditional Architecture: Chios. Melissa, Athens 1984.
  • Athena Zacharou-Loutrari, Vaso Penna, Tasoula Mandala: Chios: History and Art. Translated from the Greek by Athena Dallas-Damis ... (The Monuments of Chios). The Chios Prefecture, Chios 1989. OCLC 31423355.
  • Hubert Pernot: En Pays Turc: L’île de Chios. (Dijon, Imprimerie Darantière, Rue Chabot-Charny, 65). Avec 17 mélodies populaires et 118 simili-gravures. J. Maisonneuve, Libraire-Éditeur, Paris 1903. (online)
  • Arnold C. Smith: The Architecture of Chios: Subsidiary Buildings, Implements and Crafts. Edited by Philip Pandely Argenti. Tison, London 1962.
  • Michales G. Tsankares, Alkes X. Xanthakes: Chios: hekato chronia photographies, 1850–1950. (Chios: One Hundred Years of Photographs, 1850–1950). Synolo, Athens 1996, ISBN 960-85416-4-6.
  • Eleftherios Yalouris: The Archeology and Early History of Chios. (From the Neolithic Period to the End of the Sixth Century B.C.). University of Oxford, Merton College, dissertation, 1976.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Ugiriki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kios kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.