Jimbo Katoliki la Iringa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Jimbo katoliki la Iringa''' (kwa Kilatini Dioecesis Iringaënsis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania ...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 07:55, 6 Novemba 2011
Jimbo katoliki la Iringa (kwa Kilatini Dioecesis Iringaënsis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Makao makuu yake yako Iringa katika mkoa wa Iringa, lakini linaenea pia katika mkoa wa Njombe na katika mkoa wa Mbeya.
Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Songea.
Askofu wake ni Tarcisius Ngalalekumtwa.
Historia
- 3 Machi 1922: Kuanzishwa kwa Apostolic Prefecture ya Iringa kutokana na Apostolic Vicariate ya Dar-es-Salaam
- 8 Januari 1948: Kupandishwa cheo kuwa Apostolic Vicariate ya Iringa
- 25 Machi 1953: Kufanywa dayosisi
Uongozi
- Maaskofu wa Iringa
- Tarcisius Ngalalekumtwa (since 1992.11.21)
- Norbert Wendelin Mtega (1985.10.28 – 1992.07.06)
- Mario Epifanio Abdallah Mgulunde (1969.10.23 – 1985.03.09)
- Attilio Beltramino, I.C.M. (1953.03.25 – 1965.10.03)
- Vicar Apostolic wa Iringa
- Attilio Beltramino, I.C.M. (1948.01.08 – 1953.03.25)
- Prefect Apostolic wa Iringa
- Attilio Beltramino, I.C.M. (1936.02.18 – 1948.01.08)
- Padri Francesco Cagliero, I.C.M. (1922.05.10 – 1935)
Takwimu
Eneo ni la kilometa mraba 43,318, ambapo kati ya wakazi 2,367,962 (2006) Wakatoliki ni 588,438 (24.9%).