Magofu ya Pujini (Magofu ya mji wa kale wa Pujini) ni magofu ya Zama za Kati jirani na kijiji cha Pujini kilichopo Wilaya ya Chake Chake, Mkoa wa Kusini Pemba.[1]

Eneo hilo la kihistoria lilikuwa kama ngome. Inaaminika kuwa jumba hilo lilijulikana kuwa la Mkama Ndume.[2] [3]

Ni moja kati ya maeneo kadhaa ya kihistoria ya Kitaifa katika kisiwa cha Pemba yakiwemo Chambani na Ras Mkumbuu.

Marejeo hariri

  1. Spear, Thomas (2000-01). "Swahili History and Society to 1900: A Classified Bibliography". History in Africa (kwa Kiingereza) 27: 339–373. ISSN 0361-5413. doi:10.2307/3172120.  Check date values in: |date= (help)
  2. LaViolette, Adria; Fleisher, Jeffrey (2009). "The Urban History of a Rural Place: Swahili Archaeology on Pemba Island, Tanzania, 700-1500 AD". The International Journal of African Historical Studies 42 (3): 433–455. ISSN 0361-7882. 
  3. Ingrams, William Harold (1800,01,01). "The chief's trumpet or sacred horn in East Africa" (kwa English).  Check date values in: |date= (help)