Mkoa wa Pemba Kusini
Mkoa wa Pemba Kusini mi mojawapo kati ya mikoa 31 ya Tanzania. Uko kusini mwa Kisiwa cha Pemba ambacho ni sehemu ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Unapakana na Mkoa wa Pemba Kaskazini tu, halafu unazungukwa na Bahari Hindi na Mfereji wa Pemba. Mkoa una eneo la km2 332 na wakazi 271,350 kadiri ya sensa ya mwaka 2022 [1]. Katika sensa ya mwaka 2012 ulikuwa na wakazi wapatao 195,116. Makao makuu ya mkoa yako Chake Chake.

Mkoa una wilaya mbili tu, Mkoani na Chake Chake
Tazama pia
haririTanbihi
haririViungo vya nje
hariri- Mkoa wa Pemba Kusini katika sensa ya 2012 Ilihifadhiwa 29 Machi 2018 kwenye Wayback Machine.
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Songwe | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi |
Makala hii kuhusu maeneo ya Pemba bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Pemba Kusini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno. |