Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

--Baba Tabita (majadiliano) 07:09, 17 Desemba 2012 (UTC)Reply

Madaraja nchi mbalimbali barani Afrika hariri

Salaam, Ndugu Alifazal! Nimeona juhudi zako kadha wa kadha katika uanzishaji wa makala za madaraja barani Afrika. Binafsi, nimependezewa! Je, umefikiria labda kupanua maandishi zaidi badala ya kuandaa mbegu? Yaani, makala fupifupi tu? Ni wazo tu. Toa fikra zako kadiri uwezevyo kisha nione nitasaidia vipi katika hili. Wako Muddyb au,--MwanaharakatiLonga 08:11, 2 Mei 2013 (UTC) Reply

Hivi ujumbe wangu umeuona? Au labda hujanisoma niandike kwa Kiingereza?--MwanaharakatiLonga 14:11, 2 Mei 2013 (UTC)Reply
Habari Ndugu Muddy. Asante sana kwa ujumbe yako. Ningependa ma-editor wengine wanisaidie kupanua maandishi haya. Ali Fazal (majadiliano) 14:14, 2 Mei 2013 (UTC)Reply

Wiki Indaba conference hariri

Salaam, ndugu. Kuna mpango wa mkutano mjini Johannesburg mwezi wa pili mwakani, angalia http://wikiindaba.net/index.php?title=Main_Page - pia, umeombwa kujibu maswali yao kwenye tovuti la Google docs: https://docs.google.com/forms/d/1zEk6hw4IiQYVrdJGYphPhQHOQFi4wdOIXvzVj9vy_gU/viewform Asante kwa msaada wako. Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 12:35, 4 Novemba 2013 (UTC)Reply

Update on Upcoming Wiki Indaba Conference hariri

Hello Sir. My name is Rexford Nkansah, currently serving as a Wikipedian in Residence at the Africa Centre in Cape Town.

The Wikimedia Foundation has shared with us the incredible number of edits that you have done on this Wikipedia. You have are one of those with the high contribution to this Wikipedia.

As one of the highest contributors to one of the languages of the African continent, I want to inform you about the upcoming Wiki Indaba Conference which is similar to Wikimania, however, its designed by Africans for Africans.

This message is to inform you about scholarship to attend application currently open. You're invited to apply for scholarship to attend this conference.

Please see the main Wiki Indaba Website for more details on Eligibility and Deadline – look at www.wikiindaba.net for more details. And like the facebook page for updates.

Please don't hesitate to get in touch should you have any questions.

my contact is rexford[@]wikiafrica.net --Nkansahrexford (majadiliano) 10:18, 31 Machi 2014 (UTC)Reply

Mohamed Amin hariri

Thank you for starting an article on him! Are you interested in starting a short article on Ethiopian Flight 961? WhisperToMe (majadiliano) 01:51, 1 Oktoba 2014 (UTC)Reply

Salaamu Alifazal hariri

Salamu je uko Afrika ya Mashariki? Kuna mipango ya mkutano wa TZ/Kenya. Kama unaishi hapa usome Majadiliano_ya_Wikipedia:Wakabidhi#Mawasiliano_na_ofisi_ya_WMF_-_Wikimedia_Foundation_.2F_Asaf_Bartov Kipala (majadiliano) 10:03, 3 Desemba 2014 (UTC)Reply


Tafadhali uangalie jamii kuhusu mfumo wa kuanzisha makala hariri

Mpendwa, nakuomba kuaangalia ukurasa wa Jumuiya. Tuliomba wikimedia ya kutpa mfumo wa kuzuia watumiaji wasiojiandikisha wasianzise makala mapya. Kusudi lilikuwa kupunguza idadi ya makala mabaya yasiyotosheleza masharti ya wikipedia ilhali tuko wachache mno kuziangalia. Wikipedia kubwa kadhaa zinatumia utaratibu huu (kama en:wikipedia) lakini sisi tunapaswa kupeleka ombi kwa kamati fulani. Kamati hii wametupa nafasi kwa kipindi ha miezi 6 tu inayokwisha karibuni. Sasa wanakamati wamekuja wanadai tujieleza au watarudisha mfumo huu nyuma. Mimi nikiwa 1 kati ya wachache wanaochugulia makala mapya naona itaturudisha nyuma. Naomba mchangie! Sanaaaaa!! Kipala (majadiliano) 23:36, 10 Septemba 2015 (UTC)Reply