Maria Dominika Mazzarello
Maria Dominika Mazzarello (Mornese, 9 Mei 1837 – Nizza Monferrato, 14 Mei 1881) alikuwa mtawa wa Piemonte, Italia Kaskazini, mwanzilishi wa Mabinti wa Bikira Maria Msaada wa Wakristo pamoja na Yohane Bosco[1].
Bikira huyo, ambaye aling’aa kwa unyenyekevu, busara na upendo, alijitolea maisha yake pamoja na shirika lake hilo kwa malezi ya Kikristo ya wasichana fukara [2].
Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XI tarehe 20 Novemba 1938, halafu mtakatifu na Papa Pius XII tarehe 24 Juni 1951.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ "MARIA DOMENICA Mazzarello, santa in "Dizionario Biografico"". Iliwekwa mnamo 17 November 2016. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/32600
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |