Mbio ya Marathoni ni mbio ya masafa marefu kuliko zote, ikichukua kilometa 42.195. Ndiyo kilele cha michezo ya Olimpiki.

Mchoro wa Luc-Olivier Merson unaomuonyesha Fidipide akitangaza ushindi na kufa hapohapo.

Asili ya mchezo huo ni mbio ya urefu huohuo iliyopigwa na Fidipide mwaka 490 KK ili kuwatangazia wananchi wa Athens (Ugiriki) kwamba wamewashinda Waajemi katika mapigano ya Marathon.

Siku hizi wanariadha bora, hasa wa Kenya na Ethiopia, wanafaulu kukimbia umbali huo wote kwa saa 2 na dakika chache tu.

Marejeo hariri

  • Hans-Joachim Gehrke, "From Athenian identity to European ethnicity: The cultural biography of the myth of Marathon," in Ton Derks, Nico Roymans (ed.), Ethnic Constructs in Antiquity: The Role of Power and Tradition (Amsterdam, Amsterdam University Press, 2009) (Amsterdam Archaeological Studies, 13), 85–100.
  • Hans W. Giessen: Mythos Marathon. Von Herodot über Bréal bis zur Gegenwart. (= Landauer Schriften zur Kommunikations- und Kulturwissenschaft. Band 17). Verlag Empirische Pädagogik, Landau 2010
  • Tom Derderian, Boston Marathon: History of the World's Premier Running Event, Human Kinetics, 1994, 1996
  Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Mbio ya Marathoni kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.