Mbongeni Ngema

Mwanamuziki wa Afrika Kusini

Mbongeni Ngema (10 Mei 1955 - 27 Desemba 2023) alikuwa msanii, mwandishi na mtunga muziki wa Afrika Kusini.

Alianza kazi yake ya kisanii pamoja na Gibson Kente na Percy Mtwa. Anajulikana hasa kwa igizo lake la muziki Sarafina! ambalo likawa maarufu hata kule Hollywood.[1]

Maandishi yake hariri

  • Asinamali (1983)
  • Woza Albert! ([1985]])
  • Sarafina! (1986)
  • Magic at 4 AM (1993)
  • Circle Of Life (African voices) (1995)
  • Mama (1996)
  • Sarafina! 2 (1997)
  • Nikeziwe (2005)
  • The House of Shaka (2006)
  • Lion of the East (2009)

Angalia pia hariri

Marejeo hariri

  1. "Mbongeni Ngema | South African playwright, composer, choreographer, and director | Britannica". www.britannica.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-02-26. 
  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mbongeni Ngema kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.