Mel
Mel (alifariki huko Ireland, 488) alikuwa mpwa wa Patrick[1] ambaye alikwenda naye kufanya umisionari.
Mjomba wake alimfanya askofu wa kwanza wa Ardagh[2] [3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Februari[4].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ "CATHOLIC ENCYCLOPEDIA: Ardagh". www.newadvent.org.
- ↑ "Ardagh Heritage Village". 9 April 2013. Check date values in:
|date=
(help) - ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/39670
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |