Mlima wa Galala ni mlima ulioko katika Jimbo la Suez, Misri, na una mwinuko wa futi 3,300 juu ya usawa wa bahari, ulio na aina nyingi za mimea.

Mlima Galala

Mlima wa Galala ulikuwa unaitwa Gallayat Plateaus hadi ulipobadilisha jina katika miaka ya 1920.

Ulikuwa na vyanzo vya maji ambavyo sasa vimekauka. Utafiti uliofanywa mnamo 1989, kuchunguza uwezekano wa kutumia maji kutoka Bahari Nyekundu kwenda Galala, na matokeo yalikuwa ya kutia moyo.

Mlima wa Galala ni maarufu kwa jiwe lake, ambalo linachimbwa kutolewa nje, na lina rangi nyeupe.

Mradi mkubwa wa ujenzi huko Galala, ulioungwa mkono na Rais Sisi na wawekezaji vilevile, ulikuwa ukiendelea hadi mwaka 2018 kusaidia utalii katika eneo hilo.

Tazama pia hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Misri bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mlima Galala kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.