Modoaldi
Modoaldi (Akwitania, leo nchini Ufaransa, 584/590 - Trier, leo nchini Ujerumani, 12 Mei 645/648) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 620 hivi[1].
Kabla ya kuchaguliwa alifanya kazi ikulu bila kupendezwa na maadili mabovu ya huko[2].
Baadaye alianzisha monasteri mbalimbali kwa kusaidiana na dada yake Severa[3] [4].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/92772
- ↑ Monks of Ramsgate. "Modoald". Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 10 January 2016
- ↑ "St. Severa of Villeneuve, France", Antiochian Orthodox Christian Archdiocese
- ↑ Schulenburg, Jane Tibbetts. Forgetful of Their Sex: Female Sanctity and Society, ca. 500–1100, University of Chicago Press, 1998
- ↑ Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |