Neofito wa Nisea (Nisea, Bitinia, leo nchini Uturuki, 294 hivi - Nisea, 310) alikuwa kijana Mkristo ambaye, baada ya kuishi kama mkaapweke, alifia dini yake hiyo wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Januari[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.