Lugha za Kinilo-Sahara
(Elekezwa kutoka Nilo-Saharan languages)
Lugha za Kinilo-Sahara ni familia ya lugha za barani Afrika ambayo ni kati ya zile muhimu zaidi duniani. Hata hivyo, si wataalamu wote wanakubali familia hiyo.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b7/Nilo-Saharan.png/300px-Nilo-Saharan.png)
Katika familia hiyo kuna lugha takriban 200 zenye jumla ya wasemaji milioni 50-60 katika nchi 17, zikiwemo Algeria, Libya, Misri, Chad, Mali, Niger, Benin, Sudan, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Afrika Mashariki, k.m. Kijaluo na Kimaasai.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kinilo-Sahara kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |