Nonoso (alifariki mlima Soratte, Lazio, 570 hivi) alikuwa abati nchini Italia[1].

Sanamu katika abasia ya Thierhaupten.

Habari zake ziliandikwa na Papa Gregori I.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 2 Septemba[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Alban Butler, David Hugh Farmer, Paul Burns, Butler's Lives of the Saints (Liturgical Press, 1995), 10.
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.