Olga wa Kiev
Olga wa Kiev (kwa Kirusi: Ольга; Pskov[1], Urusi, 890-925 hivi [2][3] – Kiev, Ukraina, 969[4]) alitawala utemi wa Kiev kwa niaba ya mwanae kuanzia mwaka 945 hadi 960.

Baada ya kupokea ubatizo alijitahidi sana kueneza Ukristo nchini. Kazi hiyo ilikamilishwa na mjukuu wake, Vladimir Mkuu[5].
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Karpov, A.Y. (2009). Princess Olga (in Russian). Moscow: Molodaya Gvardiya, 31. ISBN 978-5-235-03213-2.
- ↑ Michael S. Flier, "St Olga," in The Oxford Dictionary of the Middle Ages, ed. Robert E. Bjork (Oxford: Oxford University Press, 2010).
- ↑ "Princess Olga of Kiev," Russiapedia, https://russiapedia.rt.com/prominent-russians/history-and-mythology/princess-olga-of-kiev/.
- ↑ Ciaran Conliffe, "Saint Olga, Queen of Kiev," HeadStuff, May 10, 2016, , https://www.headstuff.org/culture/history/saint-olga-queen-of-kiev/.
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/61750
- ↑ Святая княгиня Ольга (ru-RU).
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |