Orangutanu
Orangutanu wa Borneo
Orangutanu wa Borneo
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota
Himaya: Animalia
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda: Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima)
Oda ya chini: Simiiformes (Wanyama kama kima)
Familia ya juu: Hominoidea (Masokwe)
Familia: Hominidae (Masokwe wakubwa)
Nusufamilia: Homininae
Jenasi: Pongo
Lacépède, 1799
Ngazi za chini

Spishi 3:

Msambao wa orangutanu
Msambao wa orangutanu

Orangutanu ni spishi za sokwe katika jenasi Pongo. Orangutanu wanaishi katika misitu ya mvua ya Borneo na Sumatra, visiwa vikubwa vya Indonesia.

Spishi hariri

Picha hariri