Orso wa Loches (kwa Kilatini: Ursus; aliishi katika Ufaransa wa leo karne ya 6 hivi) alikuwa mmonaki aliyeanzisha monasteri mbalimbali, na hatimaye ile ya Loches aliyoiongoza kama abati hadi alipofariki [1].

Maarufu zaidi kati ya wafuasi wake alikuwa Leobasi.

Habari zake ziliandikwa na Gregori wa Tours.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Julai[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/64570
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.