Leobasi (pia: Leubatius, Leubais; aliishi karne ya 6 hivi) alikuwa mmonaki, ambaye Orso wa Loches[1], mlezi wake, alimweka kuwa abati aongoze monasteri mpya, alipoendelea kwa utakatifu sana hadi uzee mkubwa karibu na Tours, leo nchini Ufaransa[2][3].

Habari zake ziliandikwa na Gregori wa Tours.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Januari[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.