Papa Yohane V
Papa Yohane V alikuwa Papa kuanzia tarehe 23 Julai 685 hadi kifo chake tarehe 2 Agosti 686[1]. Alitokea Syria[2].
Alimfuata Papa Benedikto II akafuatwa na Papa Konon.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Marejeo hariri
- Ekonomou, Andrew J. 2007. Byzantine Rome and the Greek Popes: Eastern influences on Rome and the papacy from Gregory the Great to Zacharias, A.D. 590–752. Lexington Books.
Viungo vya nje hariri
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane V kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |