Paterniani wa Fano

Paterniani wa Fano (Fano, mkoa wa Marche, nchini Italia, 275 - Fano, 13 Novemba 360) kwa miaka 40 alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo[1].

Mt. Paterniani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yao ni tarehe 12 Julai[2] lakini pia 10 Julai, 13 Novemba au 23 Novemba.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Don Giuseppe Ceccarelli: I Vescovi delle Diocesi di Fano, Fossombrone, Cagli e Pergola - Cronotassi Fondazione Cassa di Risparmio di Fano, 2005. a pag. 42
  • Alessandra Mingardi, Le Feste di Cervia (La Festa del Patrono: San Paterniano pag. 81), Ediz. Longo Editore Ravenna, 1999

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.