Pikipiki za majini

Pikipiki ya majini ni chombo cha kisasa ambacho kinatumia mafuta na ambacho hutumika hasa kwenye maji.

Pikipiki.

Pikipiki hizi hutumika hasa kwa michezo na burudani, si kwa usafiri, na mara nyingi hupatikana pembezoni mwa bahari na maziwa makubwa.

Kuna aina mbili za pikipiki ikiwemo hii na nyingine ni pikipiki ambayo hutembea barabarani: hizi hutumika na watu tofautitofauti kwenye ardhi tu. Katika nchi zinazoendelea, pikipiki zinachukuliwa kuwa za matumizi kwa sababu ya bei za chini na uchumi mkubwa wa mafuta. Kati ya pikipiki zote duniani, 58% ni katika Asia-Pasifiki na Kusini na Mashariki mwa Asia, isipokuwa Japan ya kati.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.