Usafiri
Usafiri ni uhamisho wa watu au vitu na bidhaa kutoka mahali pamoja kwenda mahali pengine.

Treni ya Shinkansen nchini Japani.

Feri kwenye bandari ya Dar es Salaam.

Ndege ya Boeing 747-300.
Usafiri unakuja pamoja na muundombinu kama njia za usafiri, vyombo vya usafiri na wahusika wake kama makampuni, shirika na abiria.
Njia za usafiri
Njia za usafiri hutofautishwa kufuatana na aina yake kama ni:
Vyombo vya usafiri
Vyombo vya usafiri hulingana na njia zinazotumika.
Usafiri wa nchi kavu hutumia motokaa, treni, baisikeli au pikipiki.
Usafiri wa majini hutumia meli, boti, jahazi na mengine.
Faida ya usafiri
Tanbihi
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |