Pomponi wa Napoli (alifariki 536) alikuwa askofu wa 21 wa Napoli, Italia Kusini anayesifiwa kwa kutetea imani sahihi dhidi ya Wagoti Waario waliotawala nchi.[1][2].

Pia alijenga kanisa kwa heshima ya Jina takatifu la Maria, Mama wa Mungu.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Aprili[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.