Porkari na wenzake

Porkari na wenzake (walifariki Lerins, leo nchini Ufaransa, 739 hivi) walikuwa abati na wamonaki wenzake, inasemekana 500, walioishi katika visiwa vya Lerins au waliokimbilia usalama huko na ambao waliuawa na maharamia Waislamu[1].

Visiwa vya Lerins.
Kanisa na monasteri ya Lérins.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 12 Agosti[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.