Prasede wa Roma (alifariki mjini Roma, Italia, 165 hivi[1]) alikuwa bikira wa Kikristo[2].

Mt. Prasede alivyochorwa na Johannes Vermeer (1655 hivi).

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 21 Julai[3].

Tazama pia Edit

Tanbihi Edit

Viungo vya nje Edit

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.