Primo na Donato (walifia dini 363 hivi huko Lemellefa, leo Bordj-Ghedir, nchini Algeria) walikuwa mashemasi wa mkoa wa Mauretania (Dola la Roma) waliouawa kanisani wakati wa dhuluma ya kaisari Juliani Mwasi wakiwa katika jitihada ya kulinda altare.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Februari[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.