Shirika la Mkombozi
Shirika la Mkombozi Mtakatifu sana (kwa [[Kilatini: Congregatio Sanctissimi Redemptoris – Ufupisho: C.Ss.R au CSSR) ni shirika la kitawa la kimisionari la Kanisa Katoliki lililoanzishwa na Alfonso Maria wa Liguori tarehe 9 Novemba 1732 huko Scala (karibu na Amalfi, Italia) ili kushughulikia watu waliosahaulika wa mkoa wa Napoli.

Mt. Alfonso Maria wa Liguori (1696-1787), Mwanzilishi wa shirika
Kwa Kiingereza wanashirika wanajulikana kama Redemptorists. Wakiwa mapadri na mabradha wanafanya kazi katika nchi zaidi ya 77 duniani kote. Mkuu wao anaitwa Michael Brehl.
Wanashirika maarufuEdit
- Mtakatifu Alfonso Maria wa Liguori (1696-1787) Mwanzilishi, Askofu na Mwalimu wa Kanisa
- Mtakatifu Jeradi Majella (1726-1755) bradha
- Mtakatifu Klement Hofbauer (1751-1888) padri
- Mtakatifu John Nepomucene Neumann (1811-1860) Askofu
- Mwenye heri Peter Donders (1809-1887) padri
- Mwenye heri Kaspar Stanggassinger (1871-1899) padri
- Mwenye heri Gennaro Maria Sarnelli (1702-1744) padri
- Mwenye heri Nicholas Charnetsky (1884-1959) Askofu na mfiadini
- Mwenye heri Vasyl Velychkovsky (1903-1973) Askofu na mfiadini
- Mwenye heri Zenon Kovalk (1903-1941) padri na mfiadini
- Mwenye heri Ivan Ziatyk (1899-1952) padri na mfiadini
- Mwenye heri Francis Xavier Seelos (1819-1867) padri
Viungo vya njeEdit
- Congregation of the Most Holy Redeemer Archived 13 Mei 2013 at the Wayback Machine.
- Redemptorist Communications Ireland
- The London Province of the Redemptorists
- The Redemptorists' publishing house in Chawton
- The Redemptorists' publishing house in St Louis
- Redemptorist Spirituality Archived 19 Novemba 2008 at the Wayback Machine.
- Holy Redeemer Church in Bangkok Archived 4 Julai 2007 at the Wayback Machine.
- Redemptorists of Australia and New Zealand.
- Redemptorists of México Archived 3 Januari 2019 at the Wayback Machine.