Somangila
Somangila ni kata iliyopo katika wilaya ya Kigamboni katika mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 17102.
Kata ya Somangila ina jumla ya mitaa kumi na tatu ambayo ni: Dege, Visikini, Minondo, Kichangani, Kizani, Mkwajuni, Shirikisho, Mwera, Mbwamaji, Mwanzomgumu, Malimbika, Bamba na Sara.
Marejeo hariri
Kata za Wilaya ya Kigamboni - Tanzania | ||
---|---|---|
Kibada (17109) | Kigamboni (17107) | Kimbiji (17101) | Kisarawe II (17104) | Mjimwema (17106) | Pembamnazi (17105) | Somangila (17102) | Tungi (17103) | Vijibweni (17108) |
Makala hii kuhusu maeneo ya Dar es Salaam bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Somangila kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |