Stefano Kijana
Stefano Kijana (Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 715 hivi ; Konstantinopoli, 28 Novemba, 764 hivi) alikuwa abati aliyedhulumiwa kirefu na kaisari Konstantino V wa Bizanti na hatimaye kuuawa kwa sababu ya kuheshimu picha takatifu[1].


Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia Edit
Tanbihi Edit
Marejeo Edit
- Huxley, George (1977). "On the Vita of St Stephen the Younger". Greek, Roman, and Byzantine Studies 18 (1): 97–108. https://grbs.library.duke.edu/article/viewFile/7891/4835.
- Majeska, George P. (1984). Russian Travelers to Constantinople in the Fourteenth and Fifteenth Centuries. Washington, District of Columbia: Dumbarton Oaks. ISBN 978-0-88402-101-8.
- Rochow, Ilse (1994). Kaiser Konstantin V. (741–775). Materialien zu seinem Leben und Nachleben (in German). Frankfurt am Main, Germany: Peter Lang. ISBN 3-631-47138-6.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |