Wilaya ya Temeke

(Elekezwa kutoka Temeke)

Wilaya ya Temeke ni wilaya ya Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania yenye postikodi namba 15000[1].

Mahali pa Temeke (kijani) katika mkoa wa Dar es Salaam.

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 1,368,881 [2].

MarejeoEdit

  1. https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/dsm.pdf[dead link]
  2. Nakala iliyohifadhiwa. Jalada kutoka ya awali juu ya 2010-02-10. Iliwekwa mnamo 2010-10-30.
  Kata za Wilaya ya Temeke - Tanzania  

Azimio | Buza | Chamazi | Chango'mbe | Charambe | Keko | Kibondemaji | Kiburugwa | Kijichi | Kilakala (Temeke) | Kilungule | Kurasini | Makangarawe | Mbagala | Mbagala Kuu | Mianzini | Miburani | Mtoni (Temeke) | Sandali | Tandika | Temeke (kata) | Toangoma | Yombo Vituka