Theodosia wa Konstantinopoli

(Elekezwa kutoka Theodosia wa Kostantinopoli)

Theodosia wa Konstantinopoli (karne ya 7 - 729) alikuwa mwanamke mmonaki wa Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, aliyeuawa chini ya kaisari Leo III wa Bizanti kwa sababu ya kulinda na wenzake picha takatifu ya Kristo isiharibiwe[1].

Picha takatifu ya Mt. Theodosia.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Julai[2] au 29 Mei.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Van Millingen, Alexander (1912). Byzantine Churches of Constantinople. London: MacMillan & Co. 
  • Mamboury, Ernest (1953). The Tourists' Istanbul. Istanbul: Çituri Biraderler Basımevi. 
  • Janin, Raymond (1953). La Géographie ecclésiastique de l'Empire byzantin. 1. Part: Le Siège de Constantinople et le patriarcat oecuménique. 3rd Vol. : Les Églises et les monastères. Paris: Institut français d'etudes byzantines. 
  • Schäfer, Hartmut (1973). Die Gül Camii in Istanbul. Tübingen: Wasmuth. 
  • Brubaker, Leslie; Haldon, John (2011). Byzantium in the Iconoclast era (ca 680-850). Cambridge: Cambridge University Press. ISBN 978-0-521-43093-7. 
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.