Karne ya 7
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 5 |
Karne ya 6 |
Karne ya 7
| Karne ya 8
| Karne ya 9
| ►
Miaka ya 600 |
Miaka ya 610 |
Miaka ya 620 |
Miaka ya 630 |
Miaka ya 640 |
Miaka ya 650 |
Miaka ya 660 |
Miaka ya 670 |
Miaka ya 680 |
Miaka ya 690
Karne ya 7 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 601 na 700. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 601 na kuishia 31 Desemba 700. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/72/Map_of_expansion_of_Caliphate.svg/220px-Map_of_expansion_of_Caliphate.svg.png)
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama haya wafuatayo.
Watu na matukio
haririKarne: Karne ya 6 | Karne ya 7 | Karne ya 8 |
Miongo na miaka |
Miaka ya 600 | 600 601 602 603 604 605 606 607 608 609 |
Miaka ya 610 | 610 611 612 613 614 615 616 617 618 619 |
Miaka ya 620 | 620 621 622 623 624 625 626 627 628 629 |
Miaka ya 630 | 630 631 632 633 634 635 636 637 638 639 |
Miaka ya 640 | 640 641 642 643 644 645 646 647 648 649 |
Miaka ya 650 | 650 651 652 653 654 655 656 657 658 659 |
Miaka ya 660 | 660 661 662 663 664 665 666 667 668 669 |
Miaka ya 670 | 670 671 672 673 674 675 676 677 678 679 |
Miaka ya 680 | 680 681 682 683 684 685 686 687 688 689 |
Miaka ya 690 | 690 691 692 693 694 695 696 697 698 699 |
- Papa Gregori I anajitangaza "mtumishi wa watumishi wa Mungu"
- Augustino wa Canterbury anainjilisha Uingereza
- Muhammad (Maka, 570 - Madina, 632) anaanzisha dini ya Uislamu hukoUarabuni
- Waarabu wanatoka katika Bara Arabu na kuvamia milki za jirani za Bizanti na Uajemi zilizowahi kuchoshana kwa vita virefu
- Hadi mwisho wa karne majeshi ya Waarabu Waislamu zinafikia milango ya Ulaya, China na Uhindi na kutawala maeneo makubwa kuanzia Afrika ya Kaskazini hadi Asia ya Kati.