Theotoni (Ganfei, Ureno, 1082 hivi - Coimbra, 18 Februari 1162) alikuwa padri kanoni na mshauri wa mfalme wa Ureno Afonso I.

Mt. Theotoni (1450-1490 hivi), mchoro wa Nuno Gonçalves, National Museum of Ancient Art, Lisbon, Ureno.

Alikwenda mara mbili kufanya hija Yerusalemu alipokataa uongozi wa Kanisa katika Nchi Takatifu.

Aliporudi kwao alianzisha monasteri ya Waaugustino huko Coimbra iliyostawi haraka [1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu; heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Benedikto XIV.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliofariki dunia[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • A. Butler Butler's Lives of the Saints, Burns & Oates, 2000
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.