Turiavo wa Dol (alifariki karne ya 7 au ya 8) alikuwa abati na askofu huko Bretagne, leo nchini Ufaransa[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 13 Julai[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.